Kialisia si mbaya kutoka saa nane wala si hoja! Nadhani hoja walikuwa wanajadili nini, wamepata Muafaka gani, mbona nikitazama mwenendo wa Kesi ya Lwakatare kama Chadema wamejipanga zaidi ya Serikali?
Kimtazamo tu, serikali kama imeona kuwa haina hoja za kushinda, licha ya kupelekamashitaka...
Shida kubwa, watanzania tunasumbuliwa na njaa, akitokea mwenye pesa huwa ana weza kuwatumia apendavyo, Lakini yote inatokana na wajanja hao kujua ukweli kuwa, wananchi wetu sio njaa tu lakini na ujinga ndo mtaji wao mkubwa wa kuendelea kuishika dola mpaka leo, Kwahiyo huo pia ndo tegemeo kubwa...
Kuna mtu amewahi kuniambia wapinzani waki hukua nchi, anadhani watu watakao pata tabu zaidi ni
. Nape Nnauye
. Ridhwan Kikwete.
Ni watu wanao ishi maisha yasiyo yao, na huku kweli wakiifahamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.