We mkinga wewe miamala haipo siku izi maana anajua nshajipata. alikua ananitumia Kwa vile anajua sure nilimpenda upendo wakweli sema ndio hivo alifata maokoto Kule maana Huwa anasema aliangalia future ya maisha yakwao , na nikweli Jamaa limewajengea mpaka kwao. Mimi ndio nahangaika kwenye...
Nilikua na Binti mmoja anaitwa Neema sintokuja kumsahau aliniumiza kiukweli, akaniacha akaenda Kwa bishoo mmoja aliekua na swagger kuliko mimi, ingawa kipato nilikua namzidi yule msenge wa NIT, kisa kafata mm dini nyingine nayeye anataka msabato mwenzake. Sijawahi kuumia kama vile, lkn...
Saudia hajaruhusu.
Na wabongo wengi ni wapumbavu, huwa hawasomi hata habari Wala kuangalia video wao wanakimbilia kukomenti tu, hio video Haina uhusiano na ISRAEL .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.