Tarehe 25/12/2014 majira ya saa tatu Asubuhi Katika kanisa la Full Gospel Bible Fellow Ship, Kuta kuwa na ujumbe maalum Kwa Watawala walioko mdarakani wenye kichwa : HOFU YA HERODE:
Waandishi wanakaribishwa Katika ibada hiyo ili Ujumbe huo uwafikie Wananchi na Taifa lote kwa ujumla. Waandishi...
Kila unapotaja Uchafu wa mtu ni bora ukaweka Ushahidi ili tukuunge mkono : Angalia mleta mada hii ametaja majina na picha na ushahidi umekamilika ndo maana thread hii imekaa mda mrefu!!! sasa kama na wewe una ushahidi na hunachuki anzisha thread nyingine ili great thinker wakuchambue usitoe...
Ni kweli Mwingira ana maadui wengi na kwa sisi tunao hubili kweli tuanafahamu kuwa hata Yesu alikuwa na maadui wengi ila Cha kushangaza ni kwamba chanzo cha maadui na uadui dhidi ya Mwingira si kwa sababu ya Injiri bali ni Zinaa ndio maana ana aibika na hakuna wa kumtetea !!!
Hata shetani...
Hawa vijana wanahubili Bibilia kwa kuzingatia Katiba lakini lipo tatizo moja ambalo mimi naliona:
1.Kuwakusanya Waislamu na kuanza kurumbana nao badala ya kuwabili!!
2.Kutumia vifungu vya Kashifa kuwa kashifu na kuibua Upungufu wa Qorani
3.Kutumia Qoran Kuhubili
4.Kikundi hicho kinatumiwa na...
Ni kweli Masanja ni Mlokole lakini ulokole wake ni ule wa akina Gamanywa na Mwingira!!!
Huwezi kuigiza mambo ya imani matokeo yake ni hayo!!!!
Huu usanii ni sawa na ule wa Mama Rwakatare!!!!!!!!!!!!!!
Yawezekana ni kweli ,lakini kumbuka hata Bill Clincton alikuwa anafanya hivyo hivyo huku yupo na Monica!!!
Hata hapa nchin mtu wetu yupo hivyo hivyo lakin............................
Ni kweli kuna chuki kati ya CDM na CCM lakini kuna chuki kubwa sana kati ya Mungu na Mwigulu!!!
Jambo hili ni zito!!!
Kauli yake mda si mrefu itajulikana!!!
Mtu anayeshangilia kifo na vifo huku akitafuta madaraka kwa nguvu na huku damu ya watu ikimwagika hawezi kupona!!!
Mwigulu akumbuke...
Namshauri kiongozi wa dini anayemlea Mwigulu kama yupo achukue hatua haraka ya kumusaidia!!
Kauli ya Mwingulu imeleta taswira mbaya mbele za Mungu kwa kuwa damu imemwagika huku yeye akitoa kijeli!!!
Hakika kwa jambo hili mimi naogopa sana kinachoweza kumutokea kama hatatubu haraka!!!
Kauli yoyote inayotoka kwa Shatani ni Mbaya hata kama itakuwa nzuri machoni pa watu!!!
Jabazi anapokuuzia Kufuri ili utumie kufunga mlango kumbuka yeye ndiye atakaye kuja kubomoa!!!
Kile Kikombe kilikuwa ni kipimo Cha Mambo yafuatayo:
1. Kimepima idadi ya Waathirika wa Ukimwi nchini
2.Kimepima vigogo wa serikali wanaosumbuliwa na magojwa sugu ukiwemo ukimwi
3.Kimepima idadi ya viongozi wa serikali wanao amini Uchawi
4.Kimepima Wachungaji feki wanao amini uchawi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.