Iweke pesa mkuu kama elfu saba ivi watatoa kama elfu nne nafikiri huwez link card ambayo haina balance, Ikizingua Apo Rudi Crdb wakupe fomu ujanze Ya ku ruhusu ifanye miamala ya online, Mimi na recommend Bank ABC au Equity si wasumbufu
Msheshimiwa Raisi mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tunakutakia Maisha marefu na tunashukuru sana Kwa kulitumikia Taifa hili, Mungu akupe maisha marefu ni furaha yetu kukuona bado na afya safi
Sio mwenyeji halisi Wa Tz uyo, Anataka kuua Elimu yetu ili Siku Tukiungana East Africa basi Vijana kutoka Tz wakose Nafasi Kwa vile wengi Watakuwa na Elimu ya kati, Ww jiulize Mbona kenya hamna restrictions ivi
Ndalichako kuna Ameanza kazi yake ya kutuvuruga Watanzania, Tunahitaji Waziri wa Elimu mzawa halisi, Elimu ni very sensitive huyo Sleeper anatupeleka Chaka tu
Wewe jamaa nakuelewa sana , Huyo bwana mdogo hawezi kupata ajira ivo Etihad bila ata kuwa na masaa ya kutosha. Sema Dah ktk maraisi wote ambae Familia ake itasumbua kwa Utajiri miaka na miaka ni Mkwere, Huyu jamaa ni Fundi sana Wa fitna na Figisu kwa kiwango cha lami
Kuna Kampuni ya Kizungu kuna jamma angu alo Apply Kazi Ni kubwa tu Yani jamaa waliwambia watume CV tu bila matokeo ya aina yoyoye kuanzia ya Chuo mpaka sekondari wakisema mtumaji ila ahakikishe na tu ana diploma na O level , Zilipigwa mpaka interview bila muajiri kuwa na Matokeo ya hao anao wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.