Hiyo ya mmoja akimwaga mboga unamwaga ugali ni ya kizamani. Siku hizi ukijifanya kumwaga mboga wenzio wanaondoka na ugali wanatafuta mboga nyingine maisha yanaendelea.
Siyo eti, ni uhakika. Vitabu vya zamani vilikuwa vinatolewa kiholela mpaka Airliners na Travelling Agents walikuwa wanauza vitabu hivyo. Serikali kwa kuona udhaifu huo imeamua kutengeneza vitabu vipya, na zoezi la kubadilisha vitabu linaendelea. Gharama ya kubadili ni Tsh. 5,000 Kama hukuchanja...
Nenda kwenye kituo ulipopata huduma hiyo na Tsh. 5000, utajajaza form kwa ajili ya bar kitabu. Kama upo DSM nenda ofisi ya afya bandarini iliyopo mkabala na kanisa la St. Joseph, kwenye terminal ya ferry za kwenda Z'bar.
Kitabu hiki ni cha zamani, nenda kwenye kituo kinachotoa huduma hiyo ukabadilishe. Kuna form utajaza, kama ulipata cha kuuziwa itabidi uchome sindano kwa gharama halali ya Tsh. 20,000
Malipo halali ni Tsh. 20,000 kwa waTanzania, wasio waTanzania ni dola 50. Huyo anayesema alipata huduma kwa 10,000 alikumbana na vishoka akapewa kitabu feki. Ndiyo maana serikali kupitia Wizara ya Afya iliamua kubadili vitabu na mihuri. Kwa ufafanuzi zaidi anaweza kuwasiliana nami au aingie...
Mbona nchi nyingine Raisi anaenda baadhi ya maeneo kuongea na wananchi wake akiwa na mkalimani? Mi nadhani hakuna ubaya, kwa mtazamo wangu nadhani alipoongea kisukuma ni pale ujumbe aliokuwa anasisitiza ni specific kwa watu wa eneo hilo tu.
Hiki ni kiini macho tu, ingefaa system nzima ikawa overhauled. Ni aibu kwa nchi kama hii yenye a lot of resourses ambayo investors wanaikimbilia kuwa giza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.