du, hata mm ilishanitokea maeneo ya KIA. mara moja tu nilikuwa na haraka nakwenda Moshi sikuwaelewa nikaona tukibishana nitapoteza muda nikawaomba msamahani kwa kuwaambia nilikuwa sifahamu, nitanunua uko mbele walinielewa. lkn sina uhakika kama ni kosa kwa gari ya privet
mkuu nilipokuwa nipo karibu na wasabato walinipatia habari za cocacola nikaachana nayo kabisa,kwani nilishaachana na bia kwa somo la leo niachane na aina zote za soda sasa fanta kwa heri.
Kwa mimi ninavyojua kikubwa ni mawazo,cha pili ni utafiti wa soko kutegemea na mtaji wa mfanyabiashara,mawazo umepata ya salon,soko bado (tafuta soko kulingana na eneo linganisha na mtaji ulionao),kushauri moja kwa moja bila kujua bajeti yako ni wingumu sana,kwani salon iliyopo magomeni ni...
Mkuu,maombi yoyote ya serikalini provisional result haikubaliwi lakini unaweza omba kwa sifa ulizonazo result ikitoka utawajulisha viongozi wao watahifanyia kazi.
wakuu, nisaidieni nimepata taarifa ya Hesabu za Bunge kwa mtu amenipigia simu.naomba mnisaidie nahitaji kutafuta GAZETI LA NIPASHE LA TAREHE 28/5/2011 kwa njia ya mtandao sijafanikiwa kupata kwani ni la tarehe ya nyuma sio leo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.