ccm ccm ooh chama cha mapinduzi,ccm nambari one...............
Kazi tunazo mama ni mapenzi ya dhati kwa ccm ndio yanayonisumbua,dr.jakaya wa kikwete yupo juu indeed,,
ha ha ha ha ndoto za mchana hizo,,tutawarundika jela na vijana wa siku hizi walivyo mayai washazoea mkate wa kupakwa siagi chamoto watakiona tunajua wanaowatuma dawa yao ipo jikoni
Huyo padri ana akili nyingi sana,,anastahili tuzo iliyotukuka
j.tatu tukirudi maofisini lazma tuangalie namna ya kumtuza,,ni ukweli vijana wanatumika,uchaguzi umepita,jakaya kikwete ndio rais till 2015 kama hutaki hama nchi....ha ha ha ha ha,,njaa kitu kibaya sana mpaka inakufanya mtu uanzishe...
ukweli unauma ila ndio hivyo mbona hawakujipigisha risasi akina mbowe wenyewe,,tunataka siasa za kistaarabu,mkishindwa uchaguzi jipangeni 2015 sio kutuletea fujo dr.jk hataki maskhara muhula huu,atapopoa mmoja mmoja mpaka mshike adabu
ccm ccm oooh chama cha mapinduzi,ccm nambari one...kama...
[CCM CCM OOOOH CHAMA CHA CHA MAPINDUZI,,CCM NUMBER ONEEEEE
Mwandishi Wetu
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameingilia kati vurugu zilizotokea Arusha kutokana na mvutano wa kisiasa baina ya CCM na Chadema kuhusu suala la Meya wa Jiji la Arusha akitaka kuwapo suluhisho la kudumu baina ya pande mbili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.