ukimuona hata mtoto mdogo anaenda madrasa anahoja na akili nyingi kuliko mkiristo prof na dk, ushahidi hapa mzee madrasa anatoa hoja maprof wanashindwa kuwasilisha majina kupinga. Mngalikuwa na jina moja muislam mngalikuwa mshalitoa.
nimewajibu wachochezi. Mada ipo wazi, zijabishwa na kuonyeshwa katibu mkuu baraza la mitihani muislam, sasa mimi na wewe nani muongo. Weka majibu basi. Weka majina wewe si mfanyakazi wabaraza huna data? Anadata mtu wa madrasa?
Mwaka 1987 Profesa Malima aliteuliwa kuwa Waziri wa Elimu akiwa Muislam wa kwanza kushika nafasi hiyo. Mawaziri wanane waliopita walikuwa Wakristo. Kulikuwa na malalamiko kutoka kwa Waislam kuwa wizara hiyo imegeuzwa jimbo la Wakristo, hasa pale padri alipoteuliwa na Julius Nyerere kuongoza...
Kuna shutuma kwamba baraza la mitihani ndio chanzo cha waislam kuwa nyuma. ktk mijadala yao mingi hulitaja baraza la mithani kama ni source ya wao kuwa nyuma.
wanasema eti sio bahati mbaya kuwa baraza hilo kutoongozwa na muislam .
Ijapokuwa waziri huwa muislam.lkn wanaamini katibu mkuu ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.