Usalama barabarani wao wanaangalia magari tu. Barabara unakuta ina mashimo tena yale hatarishi lakini hawatoi taarifa hata huko TANROAD. Maana kama wao ni maafisa wa usalama barabarani wanatakiwa kuhakikisha hata barabara ziko katika usalama wa kuweza kutumiwa
Hata kama huna kosa lolote, usipowatoa lazima wakubambikizie, hawashindwi hata kukuwekea bangi kwenye gari waseme ni ya kwako kwa vile tuu hukutoa kitu. Na mimi nilishaapa nitamgongo mmoja. Ipo siku.
Yaani wakiona gari tu wanakuwa kama machangudoa wameona mteja.
Akikuuliza hivyo jua unam boa tu hapo bed. Yaani hauna jipya kwake, maana nyingine ni kwamba kuna waliokwisha mpiga vizuri zaidi yako.
Kwa kifupi jua uko na malaya
We dogo na wewe unatafuta matatizo, sasa unataka kubwa kwa ajili ya kufanyia nini? au kuna sehemu unataka ukafanye business ya hiyo kitu. Kama umepewe oda ya kuwa na kubwa its ok tafuta dawa, lakini kama ni kwa ajili ya kazi zake za kawaida............... MUNGU hakoseagi. Ridhika
Kosaliko kwa mkewe, huyu jamaa yuko poa kabisa, maana kakisifia kifaa analichokiona, lakini siyo kwamba alimsifia bali alimuuliza, SIKU HIZI UNANENEPA EHE!
Habari yako dada, i think kati ya wasichana wenye wapenzi waaminifu wewe ni mmoja wapo. Kama huyo mchumba wako kaamua kukwambia wazi kiasi hicho, ina maana na yeye ilikuwa inamuumiza sana akitafakari hayo majaribio aliyokuwa akitaka kuyafanya. So u re luck to have a man of that kind. Amini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.