Miaka 5 kidogo sana
Entry level ya mshahra hapa ni $50,000/year kwa Canada kama upo single sawa, kama una familia $24,000/year kwa nyumba pekee
Maybe unasave $8000/year
Nunua nymba NHC kwa morgage kisha unalipia na Uber hapo (hii nitaipiga)
Wengi sana wapo kama wewe hasira zinaishia kwa serikali, Nigerians wao lugha sio tatizo kwao ndio kinawabeba sana sisi tunaanza na mitaala ya kiswaahil
Kusoma kwa lugha sio ishu, kwani hukuona vipanga wa UDSM walivyogalagazwa na kijana mdogo wa mika 24 kwenye kutetea makinikia?
Sio kwamba hawajui, LA! ila hawana lugha wana mfululizo wa A ambao hauna lugha, ila ukiwarudisha huku wana connect english words wanatema cheche
Wasalaamuu....
Dunia inaenda kasi sana, Makosa yalifanyika kufanya "KIIGNILISHI" kuwa lugha ya dunia, Hii inaumiza sana watu ya dunia ya 3 hususani Wananchi wa Kizimkazi.
Juzi niliona "Twita" madaktari wamechachama wanadai pesa ni ndogo wanayolipwa "it might be true" ila nikajiuliza "Dakitari"...
Hivi mnaosema nchi za Ulaya kodi nyingi kwani Tanzania mnaishi bure??
Hamna uhakika wa Umeme, Maji, shule bora na mengineyo na bado mnalipia je si zaidi nchi za watu ambazo utabakia na matumizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.