Na Ansbert Ngurumo
Suala hili nililijadili jana katika mtandao wa wanabidii. Naomba nami niseme kidogo, nitoe maoni yangu kuhusu sakata hili na maoni ya Dk. Kitila Mkumbo anayoandika mtandaoni na gazetini.
Nimekuwa namsoma Dk. Kitila Mkumbo katika mtandao huu na safu yake katika Raia...
[/PHP]
Namimi niseme tu,wanachama na wapenzi wa chadema tumegeuka kushabikia,kusambaza taarifa hizi mbaya ambazo ukweli wa jambo hili bado hazijathibitika..Wahusika wamekana,chama kimekana sasa wale wanachadema mliokuwa kama kasuku katika kueneza taarifa hizi,kutoa mtandao mmoja kwenda mtandao...
Watu nyie ni wa ajabu badala ya kufurahia jamaa atakapo fanikisha ujenzi wa hospitali ,upatikanaji wa madawa na watumishi sambamba na upatikanaji wa vitendea kazi kunusuru maisha yenu mnafulahia jamaa anavyowazika kwa kuharakisha mazishi yenu tukiachana na ya Mungu vifo vingine vinazuilika...
By A JOINT REPORT
Posted Saturday, July 14 2012 at 13:12
HUNDREDS OF doctors working in Tanzania government hospitals are leaving the country for greener pastures in other African countries after the government terminated their services over a strike.
The Tanzania Medical Association says...
Taarifa ambazo zimethibitishwa zinatabanaisha kuwa madaktari walio katika uzoefu kazini, INTERN doctors wameanza kufukuzwa katika hospitali mbalimbali ambapo katika hospitali ya DODOMA madaktari 11 kati ya 33 wamefukuzwa na madaktari wote 70 waliokuwepo hospitali ya rufaa mbeya chini ya ulinzi...
Huku habari za mgomo zikishika kasi na madaktari wakiwa wamejiandaa vilivyo nimeweza ona tangazo hili hapa chini
Pia nimepata sehemu ya barua ambayo ndiyo imeitwa makubaliano na madakatari kwa hakika nimeshangazwa kwani nilijua serikali imekaa na madaktari kumbe imewaandikia kipande cha...
Samson Mwigamba
MWALIMU Evarist Lukiko alinifundisha mwaka 1985 somo la Kiingereza. Alikuwa mwalimu mzuri sana wa somo hilo na mimi ni mmoja wa wanafunzi aliowapenda sana kwa kuwa nilikuwa naelewa haraka sana somo lake. Alikuwa ni mwalimu mcheshi sana lakini makini sana kwenye kazi...
Heshima kwenu wanaJF,
Wakuu kama mtakumbuka wakati mwenyekiti wa jumuia ya kuratibu mgomo wa madaktari Dr.Ulimboka alivyotangaza kwenye taarifa yake ikumbukwe alisema mgomo UMEAHIRISHWA na wala HAUJASITISHWA na kutoa nafasi kwa serikali kushugulikia madai ya madaktari ambayo yalikubaliwa na...
Heshima mbele M.M Mwanakijiji
Nimekuwa navutiwa na makala zako na kwa kweli hii pia hikuacha kunivutia kama zingine ambazo nimekuwa navutiwa nazo.
Kwa hakika ni angalizo jema sana na ni makala ambayo pengine itawatoa watu kwenye ushabiki na kutazama zaidi sera na itikadi za vyama.
Mimi...
Kamanda jimbo la msalala la bure kabisa mmeliacha sana maige pale ameishia kuwagawia soda tu wananchi kama alivyofanya kipindi cha krismasi fikeni SEGESE pale mpige mambo na mmpe nguvu yule aliyekuwa mgombea diwani anahangaika peke yake ameibomoa CUF pale na sehemu ya ******* ila jimbo ni kubwa lile
TAARIFA MUHIMU: KULINGANA NA MAAZIMIO YA KIKAO CHAJUMUIYA YA MADAKTARI NA WAFANYAKAZI WA AFYA LEO TAREHE 28/01/2012, WANAJUMUIYA WOTE TUNAKUTANA TENA SIKU YA JUMATATU UKUMBI WA STARLIGHT HOTEL SAA TATU ASUBUHI. BARUA YA MAOMBI YA KUTUONA KESHO KUTOKA KWENYE OFISI YA WAZIRI MKUU IMETUFIKIA MIDA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.