Miezi sita tu na ada umeshalipa na mazaga zaga kibao...loooh. Mbona mnakuwa na speed hivyo? Alikuomba umlipie au kabla alikuwa analipiwa na nani? Vijana siku hizi wiki tu mshafahamiana na papuchi tayari matokeo yake ndio hayo. UKOME KUTISHIA TISHIA WATU MAISHA.
Mnapomchokoza Mange muwe mmejipanga, na yeye ana moyo huo huo kama wenu. Sinta alizidi sana kumchokonoa dada wa watu kisa apate kick kwenye blog yake, haya sasa tumeshajua data zako zote. Nashangaa kwa nini unamficha mwanao na kujidai hujaolewa shoga...unamkana mganda wako kweupee...mjini kazi...
Ni mtu na mtu na kujiendekeza pia. Binafsi napingana nayo, tukimalizana tumemaliza no turning back. Tutabaki kuheshimiana tu na kusalimiana kama rafiki wa kawaida tukikutana.
Mdau ni mwanzo wa mwaka so kuna vitu vingi sana vinafanyika kwenye mtandao kuanzia jana usiku inaitwa 'END OF THE YEAR' process. So inawezekana imesumbua tu wakati zoezi hilo bado likiendelea. Haiingiliani na mambo ya digitali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.