Haya ni maajabu makubwa na yanatakiwa yawekwe kwenye rekodi za dunia.
Kama alivyosema Msigwa, kuyakubali haya unatakiwa ukapimwe akili cha ajabu Msigwa huyo huyo anayakubali na kushangilia kweli kweli.
Yani unatuletea mgombea ambae yupo kwenye list of shame ya kwako kwamba amefirisi nchi alafu...
Wote tumeona kasi ya Rais Magufuli ndani ya mwaka mmoja wa utawala wake.
1. Kufukuza majizi yote ndani ya serikali na kukimbilia chadema.
2. Kufukuza majizi yote bandarini na kufunga kamera kila sehemu
3. Elimu bure
4. Makusanyo ya kodi kuongezeka
5. Flyovers kila mahali
6. Heshima ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.