Haya masuala mtu hawez kuyachukulia umakini mpaka yamkute... nina dada mwenye huo ugonjwa anatumia dawa na ana muda mrefu sana, anaendelea na kazi zake vizur ameolewa na ana watoto....!
Ukiwakuta mishipa ilivyowasimama kuongelea elimu bure mara wanafunzi wameongezewa madarasa, hakuna badiliko hata moja kuhusu walimu masikini... utawakuta chini ya miti kazi kufukuza kunguru wasiwanyeee....! Waziri wa masifuri ww...!
Mtoto miaka mitatu.... mahusiano miaka mitatu halafu achekelee tu....!? Acheni kutuonea jaman, angekuwa yeye angekubali au ile chorus ya single mother ndo ingeanzia hapo....!
Juz juz tu hapa nilipanda POLEPOLE CLASSIC nini cjui linaenda Babati linapitia singida, nilitamani kulia gari inaendeshwa na madereva wawili mambo ya magar siyajui vizur ila kuna sehemu inafunuliwa inachokonolewa ndo dereva atie gia.... nilitokwa povu hadi nikakaukwa koo wakaniambia c ningepanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.