mtu akileta mada toeni mchango wenye kujenga siyo kuwa kama watoto wadogo mtu kaleta mada ili apate msaada ajikwamu kimaisha na kama kukopa kwa kununua gari ni maamuzi yake
wadau mimi mgeni ndani ya jamii hii nahitaji kupata taarifa za jinsi ya kuingia katka kilimo cha kitunguu kupata gharama zote kwa yule anaejua maeneo ya mbalali au pengne kwa mkoa wa mbeya kwani ndo maeneo niliyopo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.