Spika wa bunge anatakiwa awe mwanasheria kitaaluma sio kuchukua mtu tu hana uwezo hata wa kutafsili kanuni za bunge na kumpa nafac kubwa kama huyu mama sasa hebu tazama jinsi gani anaabika kwa kushindwa kuendesha bunge huku akijisifu kukaa bungeni miaka 35 aibu hii si kwa makindi tu ni kwa wana...
Imenichukua masaa kazaa kutafaka uelewa wa Saidi Mwema kuhusu kazi ya polisi kwa tukio na nguvu alizotua juzi kupambana na wananchi wa Arusha, hii inaonyesha saidi mwema hajui nini kazi ya polisi na uwepo wake, la lingine wakati huu ambapo tupo katika harakati za kuandika katiba mpya inaonyesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.