akija likizo huwa anajifungia kwake kule kijichi. anacheza playstation na kufanya warm up mida ya alfajiri na washkaji zake wa kitaa.
huwezi kumuona anazurula kidimbwi, juliana au element na machawa/wadada wa mujini. samata is a very humble guy. hana makuu japo pesa anayo.
azamtv ndio itaonyesha simba day. jambo la kufanya ni kulipia mapema vifurushi vya azamtv ili kuepuka usumbufu.
kuna uwezekano, siku ya simba day (tarehe 19), system inayosimamia malipo ya azamtv ikazidiwa kutokana na foleni kubwa ya wateja. ili kuepuka usumbufu huu,lipia mapema.
mleta mada ningekuwa karibu na wewe ningekuzaba kibao kwa kuambatanisha picha ya uongo kwenye uzi wako. binti mrembo anayeonekana kwenye picha sio ya huyo kuruthum uliyemzungumzia. umepotosha.
huyo binti ni mnyarandwa, ana page yake kule instagram.
Mara ya mwisho kuingia JF ni april 2019.
Leo nime-log in baada ya kupata salamu nyingi kutoka kwa rafiki zangu ambao nilikuwa nishirikinao pamoja katika mijadala mbalimbali hapa jamvini.
Mijadala ambayo nilikuwa very active ni ile ambayo huwa inawaleta pamoja wakenya na watanzania. wadau wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.