ongea jipya......hilo tunalijua na ndio chaguo letu... wengine wanatumia za kuongeza kinga na bado wanachaguliwa kwenye majukumu mbalimbali...Ikulu hawaendi kubeba zege...tume ingeweka afya checklist kwa wagombea woote kupimwa na matokeo kuwa wazi na anayekidhi vigezo vya afya ndo...
FaizaFoxy...Inasikitisha sana mnavyojenga hoja zisizo za msingi, kuna mambo mengi kama ya escrow ambayo viongozi hawafati taratibu na dhamana ya vyeo vyao...na sisi tunashabikia badala ya kufanya ya msingi kubadili system mbovu ya wachache kunufaika na wengi kukosa mambo ya msingi kama dawa...
Training on collections and debt management for accountants, finance managers, credit controllers,debt collectors...sms your email on 0784 201 332 for more details...
Bila kuweka ushabiki wa kisiasa mbele, nadhani CHADEMA ni chama makini sana na wanafanya maamuzi magumu ambayo CCM wangeiga tungefika mbali...yale magamba waliyotaka kuyavua yameota sugu, waheshimiwa wenye kashfa bado wanapeta na kodi zetu...Uchaguzi ungefanyika leo ningechagua CHADEMA...siasa...
inaonekana wabunge wa CCM walijitengenezea mpango wa kula milele kwa kujiwekea posho na marupurupu mengi wakidhani watatawala milele..i think its time wa tz tuangalie upya malipo yao kwa kina...naunga mkono hoja ya comrade Zitto Kabwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.