kwakuwa ushapta twetter account ya mkuu wa nchi,2kutakie heli na busara njema ktk kumuulza maswali hayo.na uweze kurud na majibu ya ku2mainisha kama c kuridhisha.
cdhani kama waandamanaji,wana uwezo wa kujifadhiri kwa silaha kali za moto wakidai wanadai hak na Ghadafi ajiuzu.swali la msingi kujiulza je ni ubaya upi Ghadaf kaufanya kwa wananch wke? Na je ni nan anawapa waandamanaji silaha za kujiham na huvamia,ni kwa lengo lip na faida ya nan hasa? OOH...
maamuzi magumu,labda uvccm wangetudadavulia zaid na kwa mifano pia wa hayo wanayoyaita maamuzi magumu kwa bosi wao.inawezekana kabisa kukaa kimya kwa JK ikawa ndo maamuzi magumu kwake yeye.tutafakari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.