Wadau wa Jukwaa la Teknolojia.
Nawaomba mnisaidie jinsi ya kusave number za contacts za simu kwenye web kama google...
Nimesikia kuwa ukisevu huko hata ukipoteza line au simu utapata contact zote.
Simu ninayotumia ni smartphone,Samsung Android OS, GT S6802.
Kwa anayejua anisaidie maelezo hatua...
Kama aliwaahidi Wananchi kwa mdomo wake hilo ni deni lake No Way short of that!
WanaKyela Muonyesheni huyu msaanii maana cheo alichohongwa kimemfanya ajisahau! Anapambana na bandari wakati waliomchagua wanaomboleza...hovyo kabisa.
Nahofia tu kama Serikali watatoa kibali kwa mkutano huo kufanyika.
Halahala jamani Polisi, tusijejisahau tukaanza kupiga mabomu ya machozi tukidhani ni Wana Bavicha pekee!
Well, hii ni hatua nzuri sana kwa makuzi ya Bavicha na kwa nchi yetu kwa ujumla, na serikali inatakiwa kusapoti mkutano...
Kuna mambo mawili hapa:
Kwanza JK anajiona kwa Superiority na power aliyo nayo hawezi kuelekezwa, kupangiwa au hata kushauriwa jambo na wapinzani wake, na kisha akatekeleza. Anahisi atapunguza heshima anayohisi kuwa nayo.
Pili ni kwamba anajua kuwa kuna ukweli katika madai ya Cdm, hivyo...
Huyu hata asipoomba uhamisho atajikuta naturally akiwa absolete maana watu wa Arusha wanabadilika kila siku wakati yeye akiwa bado stagnant. Atakaa pembeni mwenyewe.
Mbona unakwepesha brother?
Nimesema viongozi wote wanaoiabudu ccm matumbo joto Huko Arusha.
Mkuu itakuwa imefanikiwa sana kama wananchi wote watapata elimu ya uraia na kutambua haki zao za msingi toka Serikalini.
Ishu si tu Magogoni kama bichwa lako linavotaka kulazimisha.
Jana 19/07/2013 huko mkoani Arusha kulikuwa na sherehe za kuwaaga na kuwakaribisha watendaji mbalimbali wa ngazi ya Wilaya, ikiwa ni pamoja na kumuaga aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Arusha Eng. Mushi ambaye amehamishiwa Wilaya ya Ilala, na hapohapo kumkaribisha Mkuu wa Wilaya mpya, John Mongella...
Ndugu wana Intelijensia.
Naomba mpitie threads zifuatazo na kisha tuanze mjadala:
1.AJALI
2.WANAJESHI WAUAWA
Ukisoma taratibu kabisa na kwa kutafakari hizo thread mbili tu utapata kionjo fulani juu ya hisia za Wananchi, japo kwa sample ndogo, jinsi wanavyowachukulia viongozi wao na Jeshi letu...
Tuseme kwa vile ni sheria za serikali tu, lakini ingewezekana kuzuia hizi chaguzi, hakika marudio ya Arusha ni kupoteza muda!../actually ni kuitengenezea mazingira mazuri sana cdm na kuitangaza zaidi jina....
Kaka,
Ni kweli usemayo.
CCM wameshindwa Arumeru kutokana na sababu kuu moja ambayo wengi hawaijui.
Ni kwamba Arumeru hapakuwa na nafasi ya kupandikiza UDINI(hasa ubaguzi wa kiislamu) ndiyo gia kuu ya ccm jamani. Arumeru ilishindikana hiyo ndiyo maana wakajaribisha hata kuwingia makanisani...
Baba,
Hukumu ya Lema imepata shinikizo kubwa sana kutoka kwa watu mbalimbali!
Kuna shinikizo toka kwa EL, serikali(kumbuka skendo bungeni ya Pinda na uwongo) na Bunge lenyewe, kuanzia spika na watu wa ccm.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.