ukisikia ukoloni ndio huu, mdau kumbuka kuwa lugha zote ni saw a, hakuna lugha iliyo bora kuzidi nyingine mradi inakidhi mawasiliano. Ni bora kujivunia lugha yako
kitabu hicho kimetafsiriwa na Mr kawegere ktk lugha ya kiswahili kinaitwa SHAMBA LA WANYAMA ni riwaya nzuri sana kwa kweli. ingawa iliandikwa siku nyingi lkn maudhui yake yanasadifu hali ya sasa kwa nchi nyingi za kiafrika
daladala moja ilikuwa imejaa abiria.dada mmoja akawa amesimama.kaka mmoja akamuonea huruma akamwambia ampakate, binti akakubari na mazungumzo yao yakawa hivi:
JAMAA.dada mbona mikono yako ni laini sana wewe ni sekretari?
DADA. haujakosea mimi ni secretary na je wewe ni fundi makenika?
JAMAA.kwa...
Habari wana jf.nauliza kama kuna mwenye details kuhusu walipo hawa waigizaji wa futuhi.Kafuku,Msukuma, Chiko.nilikuwa nawazimia sana kwenye vichekesho vyao.lakini kwa sasa hawaonekani tena startv.
Wakati umefika sasa kwa viongozi waliyopayuka hapo awali kuwa hakutakuwepo na mgawo wa umeme tena.wajitokeze hadharani na kufuta kauli zao.YAANI WANAONGOZA UTAFIKIRI WAMEKATWA VICHWA aaghhh
Siyo kahama mkuu ni kijiji kimoja kinaitwa Imenya km 7 kutoka Tinde to kahama,wawili walikufa pale pale na wengine wamejeruhiwa vibaya sana.nipo Tinde nitaendelea kuwajuza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.