Hongere kwa kuwa na familia salama na pole kwa matatizo. mi nadhani ungejaribu kumpeleka tena hospital kwa wataalam zaid wanaweza kumbadilishia dawa kwani sio dawa zote zinazoponya. Usikate tamaa atapona.
Hapo kwanza kuna gharama za aina mbili.
moja ni gharama za maandalizi ya hiyo mechi unaweza kuita mtaji( initial capital)
ambazo huyo Mr ndo alogharamia.
pili ni gharama za mechi yenyewe ambazo ziko shared na wote wawili hivyo basi
Mr anafaa kulipwa gharama za awali kwani raha wamepata wote...
Inawezekana huwa unajitanua kitanda kizima, au unamtupia miguu tumboni, au huwa unakoroma na kudondosha udenda. jaribu kulala nae mzungu wa nne leo uone kama kesho atakusema tena.
Tamko la shirika la umeme nchini kuongeza gharama za umeme kwa asilimia 18 lililopigiliwa msumari na Rais wetu wakati wa hotuba yake ya kuuga mwaka ni pigo kubwa kwa wananchi na hasa wale wa chini( last consumer). ikiwa miongoni mwa malengo ya serikali ni kuhakikisha kuwa wananchi wengi...
Hiyo ilikuwa kali. hembu sikia na hilo swali nililoulizwa la kufungia mwaka labda mnaweza kunisaidia majibu. swali lilikuwa hivi,
MTIHANI WA MAARIFA YA DUNIA
SECTION G:
Swali la 5 marks 60 Muda dk 10.
a)Kama hela hazioti kwenye miti kwa nini benki zina matawi?
b)Kwa nini gundi haigandi kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.