Search results

  1. K

    Shule za boarding kufutwa kuanzia januari mwakani

    hizi bajeti za elimu huwa zinakwenda wapi? mtoto anatoka kijijini anapasi kwenda mtwara lakini anatakiwa akae nje ya shule nani atalipia mzazi ambae anategemea jembe la mkono kulimia? kweli huyu mtoto atasoma ?pesa ya chakula,kodi ya hostel?na maisha ya hosteli huru? au ni program ya...
  2. K

    Rehema Mwakangale hayupo nasi

    Poleni wafiwa. Ni safari ya wote ila kutangulia ndiko kugumu! Pumzika kwa amani rehema.
  3. K

    Mume kutembea na "zana"

    kama anatembea na zana basi anamjali na anajijali !anajilinda na ajali kazini .amsamehe
  4. K

    Serious: Nifanyeje?

    pole sana invisible. wengi wametoa ushauri :kupumzika,mazoezi maji kwa wingi nk.upande wangu pamoja na yote hapo juu ACHA kwa muda matumizi ya KAHAWA tafuta kahawa mbadala mfano maji ya moto na tangawizi mbichi,usiache kula chakula cha mchana hata kama uko kazini beba matunda. hatuna mazoea...
  5. K

    PENDO MAGALUDA Ametutoka

    R.I.P Pendo!
  6. K

    Happy Holidays 2008-09...

    Shukran inv.!kiswahili ,kiswahili ! Heri ya krismas na mwaka mpya!
  7. K

    Happy Holidays 2008-09...

    Nawatakia krismas njema na baraka tele katika mwaka 2009.
  8. K

    Pesa hizi zilirudishwa na nani? au zilitoka hazina?

    Duhhh kweli ndio tuliwao!pesa zote hizo ziko nyumbani? na wengine kipande cha muhogo kukipata kwa siku ni mashaka! niko hoi bin taaban !tutafika tu!
  9. K

    Mwandishi Munga Tehenan: YUPO WAPI?

    Pumzika Kwa Amani MUNGA TEHENAN. alikuwa mwandishi makini na mwenye fasihi nyingi,binafsi nilipenda sana magazeti yake yote mawili. kuna baadhi tu yamakala zake ambazo unaweza zipata kwenye web site yake www.tkmedia.co.tz
  10. K

    Mauaji ya Albino: Kushindwa kwa serikali?

    inaweza ikasaidia ,na pia kuwe na ulizzi wa kijiji au sehemu ,ingawaje kwa sasa maeneo mengi yameacha huo ulinzi (sungusungu),kwani mara nyingi matukio haya ya mauaji ,wizi ramani inachorwa na mtu anaefahamu vema hiyo sehemu,huenda hata akawa ni ndugu au jamaa wa karibu.
  11. K

    Mauaji ya Albino: Kushindwa kwa serikali?

    isije ikawa ndio njia rahisi ya kuchukua ivo viungo kwani wataanza kuwaweka chini familia kwanza na silaha yao ikawa ndio kirahisisho cha kazi yao! angalia tukio la juzi wamemvamia albino amepiga kelele familia imechelewa??????kutoka kumsaidia wakaondoka na mkono!
  12. K

    Mtanzania apata ajali Michigan, Mahututi..

    Mungu amlaze pema peponi, Poleni sawa wafiwa.
  13. K

    Dagaa afungwa miaka 240 kwa ufisadi

    duuuh!shombo kali! ati nini????baada ya kifungo alipe??????walioiba mabilioni wanapeta!
  14. K

    *Beijing Olympics 2008*

    wameitangangaza nchi /utamaduni/ historia yao vilivyo! iko siku tutafika watanzania!kila kitu ni nia na ubunifu!
  15. K

    Balozi wa REDDS 2008 arejesha Taji na Zawadi

    duh kaali kweli wa kupepewa huyu naona ni mapepe! hajatulia haaaataa kidoogo! yaani hiii imani kipindi chooote cha kutembea na b..hakuwa nayo ?
  16. K

    Wiki moja kabla ya Machozi... Zitto???

    kaazi kweli kweli sikonge! naona kweli umeua kaziiii
  17. K

    Ushirikina huu kiboko!

    shule ya biashara/uchumi kwa raia ni muhimu sana
  18. K

    Ushirikina huu kiboko!

    kuna mambo ya ajabu ukisoma mambo ya bongo ! hebu angalia hiii! Chuma ulete yazua songombingo Dar, Wakimbiza pesa benki kwa hofu *Wakimbiza pesa benki kwa hofu Na Adam Hussein MZOZO mkubwa huenda ukazuka kati ya baadhi ya wenye nyumba na wapangaji katika maeneo mbalimbali...
  19. K

    Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

    tukubali yaishe tu!
  20. K

    Kifo cha Mhe. Chacha Wangwe na uchunguzi wake

    kama daktari kutoka kenya hakuweza kuingia bongo sembuse hao scotland?
Back
Top Bottom