Ni 6 Jan ambapo kanisa katoliki la magharibi (Latin church) husherehekea epiphany au tokeo la bwana ndio kanisa katoliki la mashariki Eastern Church husherehekea Christmas. Tafsiri yao siku hii ya Jan 6 ndio Yesu alijidhihirisha kwa mataifa yote kupitia kwa wale mamajusi!
Ni wazo zuri sana. Watanzania wengi hawapiti kwenye hizo formal systems. Wengi wa watz hujifanya hujua kila kitu lakini ni kinyume chake. Binafsi nina kituo kama wazo lako na kila mwezi nafundisha walau corporate moja hasa watu wa mabenki, na taasisi za serikali! Cha muhimu wewe hujue hizo...
Hivi unamaanisha malezi ya padre wa kanisa katoliki au malezi ya mapadre wakatoliki wa Tanzania?
Huko Kenya hakunaga Form V na VI ila na wao wana mapadre wakatoliki!
Katika Jimbo Kuu la Dar es Salaam hakunaga kitu kinaitwa Pre Form One! Na huko Ulaya hakunaga seminary ndogo za Form one mpaka...
There is not, and there never was on this earth, a work of human policy so well deserving of examination as the Roman Catholic Church. The history of that Church joins together the two great ages of human civilisation. No other institution is left standing which carries the mind back to the...
There is not, and there never was on this earth, a work of human policy so well deserving of examination as the Roman Catholic Church. The history of that Church joins together the two great ages of human civilisation. No other institution is left standing which carries the mind back to the...
Bahati mbaya sana ndugu zangu kwa ufahamu potofu. Hakuna vyeo katika kanisa katoliki. Kuna sakramenti eg upadre ambao una ngazi tatu ushemasi, upadre na uaskofu! Na hizo nyingine ni huduma tu Servo Serverum Dei mbalimbali katika kanisa katoliki. Vyeo vipo serikali huko au kwa watu wa mataifa!
Hapa inaongelewa nchi ya Vatican sio Italy. Kwa raia wengine ili uingie Vatican lazima kwanza upate visa ya Italy
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Mwadhama Polycarp akisafiri nje ya nchi hutumia passport ya Vatican ambayo ni Diplomatic! Kanisa Katoliki halibanwi na mamlaka ya nchi yoyote!
Kuna baadhi ya nchi kama Msumbiji kanisa haliruhusiwi kutangaza askofu bila kuishirikisha serikali na serikali ikikataa hatangazwi au atatangazwa kwa...
Mimi na watu wote wanasafiri hivyo. Pale kibaha kuna tiketi ya 750/- haichanwi pale inakuja kuchanwa Kimara! Mimi nimesafiri hivyo na ndio sbb ya mshangao niliouelezea!!!
Sio kweli. Msimamizi wa Jimbo la Tanga Pd. Thomas Kiangio yupo Roma kwa Ad Limina Visit. Kwa sheria za kanisa katoliki, askofu mstaafu hawezi kuongoza jimbo wakati wowote, hata kama askofu hayupo, anayefuata ni vicar general!
Ndio ilivyo unalipa 750/- pale Kibaha na tiketi haichanwi unakuja kimara unaendelea na safari ama kwenda gerezani au kivukoni!!! Swali kwani huwezi safiri kwa bei hiyo kutoka kivukoni/gerezani kwenda kibaha? Fanya utafiti kabla ya kuropoka!!!
Sio wote wako Roma. Wengi tu wamebaki nyumbani. Haiwezekani hata siku moja maaskofu wao wote wakawa sehemu moja kwa wakti mmoja hata kwenye sherehe zao wenyewe!
Mechi ya Asec vs USM Alger imechezwa jana tarehe 10 Mei 2023na matokeo ni 0 - 0. Sasa nyie mnatangaza mechi hiyo ni kesho 12/5 Daaah Dstv kweli ni ya mchongo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.