Wabongo tunapenda mtelezo Sana, jamaa katoa muda wake kingine charge ufanya kuengua watu wasio seriasi kujiengua mara moja, ila siku zote jambo zuri lolote lazima ukubali kurigharima mkuu
Ukiwa umeajiriwa na unafanya biashara ni ngumu sana kuona changamoto zilizoko kwenye biashara maana wewe una backup ya hiyo ajira yako, sasa acha kazi, ujiajiri, uwe na familia ya watu watano hivi wanaokutegemea ndiyo utajua anachosema mtoa mada.
Ukweli mchungu, maisha ni fumbo kubwa. Mtu kasoma mpaka chuo kikuu, akirudi anamkuta aliyemwacha form four ameshakuwa na maisha yake mazuri, huyu wa chuo ndo ananza kufikiri cha kufanya baada ya kusotea ajira za kuajiriwa na kukosa
Ingia YouTube search IBM scholar, kuna huyo jamaa anatoa maelezo mazuri sana namna ya kwenda marekani ki masomo nk. Yeye mwenyewe yuko marekani na alikwenda huko kupitia masomo
Kweli kabisa, ni kheri ufanye kazi muda mfupi malipo mazuri kuliko muda mrefu( miaka nenda rudi) kwa masirahi kiduchu kisa job security. Kwanza inafikia hatua ubongo una dumaa, haufikirii out the box, kwa ka utafiti kangu kadogo, watu wengi wanaoajiliwa on contract basis (renewal) ufanya ya...
Hakika wewe umetema pointi za maana na zinazoonyesha uhalisia wa biashara tofauti na wengi wetu hupenda kusikia stori za vijiweni, maake kama faida ingekuwa kubwa sana tunavyoaminishwa basi wengi wangefanya.
Kiongozi mkubwa kuwa na passport naona haina mantiki, mtu kama Rais wa nchi anapokwenda nchi nyingine, anapotua tu kuna viongozi wa kumpokea tayari wapo uwanjani, na anapokelewa kama kiongozi na viongozi wa nchi hiyo na kupewa heshima zote anazostahili mkuu wa nchi,na wakati wa kutoka airport...
Mfano wa kuigwa, sio kila siku kulia lia na kulaumu tu, kumbe maisha yako unayo wewe mkononi mwako, yaani wewe ndiyo unatakiwa kuyafanya unavyotaka na si kusubiri hisani kutoka kwa mwingine
Mfano wa kuigwa, sio kila siku kulia lia na kulaumu tu, kumbe maisha yako unayo wewe mkononi mwako, yaani wewe ndiyo unatakiwa kuyafanya unavyotaka na si kusubiri hisani kutoka kwa mwingine
Ushauri mzuri sana kwake na kwa wengine wenye mashamba, maanake wengi wanadanganyika kuwa bora nichane mwenyewe nipate faida kubwa mwisho wa siku inakuwa hasara kubwa.
Hivi nchi A inaposema inafunga mpaka wake na nchi B na C, sasa kama nchi B ikisema haijafunga mpaka na nchi jirani (A) na ikaendelea kuruhusu bidhaa, mizigo, nk kuja nchini mwake wakati huo vitu kutoka nchini mwake kwenda nchi A haviruhusiwi, hapo si kuifaidisha nchi A kibiashara wakati yenyewe...
Naona hapa umeongea ki ushabiki shabiki tu, haujui uchumi kuyumba utagusa hata huko serikalini, tuombe ugonjwa usiendelee muda mrefu, mishahara inatokana na makusanyo ya kodi, nk hivyo kama sekta binafsi inayumba serikali itakusanya kodi kutoka wapi?
kwa tabiri hizo ina maana mwaka 2078 hata lisipotokea hilo la kutokea inaonyesha dunia kufikisha mwaka 2378 itakuwa ngumu yaani kitakuwa kilishagongana na dunia, kweli tuzidi kumwomba Mwenyezi Mungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.