Usilinganishe Kenya na Utopolo wa Tanzania.
Hii kesi ya hawa Covid-19 haitaisha sasa hivi. Itaisha baada ya Bunge kuvunjwa mwaka 2025 na tayari wakiwa na mpunga wao mkononi
Hili tatizo analo pia mtoto wangu wa kike wa miaka 6. Lilimuanza akiwa na kama wiki moja yangu azaliwe. Anateseka sana. Akianza kujikuna hadi damu zinatoka. Tumetumia dawa nyingi sana za hospitali za kumeza na za kupaka, bado hatuoni mafanikio.
Hii inamuathiri hata shuleni. Watoto wenzake...
Muda unazidi kwenda baada ya jimbo kutangazwa kuwa wazi. Mchakato wa kumpata mrithi umeshatangazwa na baadhi ya vyama vya siasa vimeanza harakati za kuliwania jimbo lililokuwa linashikiliwa na Lissu.
Katibu Mkuu wa Chadema Mashinji katika press release yake alieleza kuwa, ameagiza kurugenzi ya...
Nilimpa kura Lowassa kwa kuwa nilikuwa namkubali sana. Nilianza kumkubali Lowassa tangu akiwa Waziri katika serikali ya Mzee Mwinyi. Nimemuunga mkono Lowassa kwa miaka yote, nilimuunga alipokuwa CCM na nilimuunga alipokuwa CDM.
Nilikuwa katika kundi la 4U Movement. Tulizunguka nchi nzima...
Nadhani kazi yao kubwa ni kuzuia na kupambana na rushwa.
Kuhusu kuitwa Takukuru huyo mtu mwenye leseni ya biashara, nadhani ni suala la kiuchunguzi tu. Maana inawezekana leseni hiyo ya biashara ni halali ila imepatikana kwa njia ya rushwa i.e kuna hongo ilitumika, au aliyeitoa hakuwa na mamlaka...
#Hii match bado ni Ngumu si Rahisi kama watu wanavyotaka kuirahisisha. Makundi mbalimbali ya watu wameanza kufunga Hesabu.
Kufunga Hesabu kwa maana ya kuchagua Upande. Kuna ambao wameshaamua kuchagua Upande wa Lisu na wengine wa Serikali.
Kinachofanyika kwa Lisu ni kampeni ya kuendelea kupata...
nimekupata vizuri sasa. Kumbe mimi basi napenda kifo cha mende na maboresho yake yoote. na siku ikitokea ukanipa Evelyn Salt, basi unipe kifo cha mende au maboresho ya kifo cha mende
Napenda sana kifo cha mende kuliko staili yoyote ile. Mke wangu na michepuko yangu yote huwa natumia kifo cha mende. uzuri wa kifo cha mende ni kuwa, kifo cha mende ni staili pekee ambayo inaruhusu mbo....iingie yooote na kama kungekuwa na uwezekano, hata mapumb.... yangeweza kuingia. pia kifo...
Kama heading ya thread inavyosomeka, msimu ujao wa Kilimo, nataka kulima/kupanda mahindi.
Nilifika mji wa Kibaigwa katika soko kubwa la Kimataifa la mahindi na nilipouliza mahindi yale yanatoka wapi, nilijibiwa kuwa yanatoka wilayani Kiteto. (Bahati mbaya, nilisahau kuuliza specific maeneo gani...
Habari ndugu.
Aisee, nimemiss sana samaki wa maji chumvi. Nipo Moshi, naomba kama kuna mdau humu www.jamiiforums.com ambaye ni mwaminifu tuongee nae, na tukikubaliana aweze kunisaidia kuninunulia na kunitumia samaki wa maji chumvi, wakiwa wabichi.
Nahitaji hata kama watajaa ndoo ndogo.
Wadau...
Katika kujadili, tusisahau kauli aliyowahi kuitoa Rais Mstaafu Mhe Mzee Kikwete kuwa "napenda mfahamu ndugu zangu (wanaCCM) kuwa, tukiishi kwa kutegemea jeshi la Polisi kufanikisha mambo yetu, tutakwisha na tutakwisha kweli".
Kama Huyo katika picha ni wewe Beauty Eva, sidhani kama nitakuwa nimekukosea nikisema..wewe ni mzuri sana.
Dental formula yako, inauwakilisha uzuri wako.
Wishing you happy 2018
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.