Kwa mtazamo wangu mimi naona serikali ya ccm inaunda bomu kama lililolipuka huko Zimbabwe baada ya wananchi kugundua kwamba ardhi ya Zimbabwe ni mali ya wazawa waliishikiza serikali ya Rais Robert Mugabe kuwaruhusu wananchi kuvamia wawekezaji wa kigeni na kurejesha ardhi ya wazawa mikononi mwa...
Kweli watanzania tuna uelewa finyu, hivi inawezekana mtu kuchochewa kufanya vurugu bila sababu !!!!!!!
Tuache kuzungumza kwa unazi wa chama. Inatupasa tuelewe wazi kwamba vurugu za Arusha chanzo chake ni mabavu na ukatili wa serikali ya CCM kwa kutumia vyombo vya dola yani jeshi la polisi...
Mimi pia nashangazwa na lawama zinazotolewa na viongozi mbalimbali wa CCM kuhusu maandamano ya amani yanayofanywa na CHADEMA.
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana hotuba zilizokuwa zinatolewa na viongozi wa CHADEMA katika mikutano ya hadhara iliyofanyika huko kanda ya Ziwa. Sijawahi kusikia...
Mimi sishangai kwa kitabu hicho kupigwa marufuku, hili linawezekana kabisa kwa viongozi tuliona katika serikali ya sasa, haswa pale inapoonekana kwamba inakosoa, inafichua au kuumbua utendaji kazi wa viongozi walioko madarakani. Mbaya zaidi ni pale inapoonekana kwa kilichopo ndani ya kaitabu...
DUH !!!!!!!!! HAPA TUMEKWISHA
Nashindwa kupata jibu nani anazungumza kwa niaba ya nani, kwani wote waliotangulia kila mmoja anatoa kauli tofauti kama vile ndio kwanza jambo hili limifika mezani kwake. Naanza kwa kuzungumzia kauli ya waziri mwenye amana, mh Ngeleja ambaye alisikika akisema...
DUH !!!!!!!!! HAPA TUMEKWISHA
Nashindwa kupata jibu nani anazungumza kwa niaba ya nani, kwani wote waliotangulia kila mmoja anatoa kauli tofauti kama vile ndio kwanza jambo hili limifika mezani kwake. Naanza kwa kuzungumzia kauli ya waziri mwenye amana, mh Ngeleja ambaye alisikika akisema...
Kwa akili ya kawaida ya kibinadamu nashindwa kuelewa huyu mtu aliye anzisha huu mjadala anamwakilisha binadamu wa aina gani !!!! je anamuwakilisha muislam wa taifa lipi, sidhani kama anamuwakilisha muislamu wa Tanzania? Nchi ambayo haina udini wala ukabila !!!!!!!!!
Sipati picha, mbona...
Kwa akili ya kawaida ya kibinadamu nashindwa kuelewa huyu mtu aliye anzisha huu mjadala anamwakilisha binadamu wa aina gani !!!! je anamuwakilisha muislam wa taifa lipi, sidhani kama anamuwakilisha muislamu wa Tanzania? Nchi ambayo haina udini wala ukabila !!!!!!!!!
Sipati picha, mbona...
Hawa wamemuwakilisha nani? Hayo ni maoni yao binafsi na siyo maoni ya waislamu wote, nafikiri sasa watu wanatafuta mahali pa kuanzishia mijadala ya kitoto, kwa akili ya mtu mzima nashindwa kukubali kama kuna viongozi wa kiislamu wanaoweza kutoa madai kama haya. Hawa ni walafi tu wa madaraka na...
Kama JF itaendelea kuandikisha wanachama bila kuangalia CV zao basi wote tutaonekana wahuni tu. Siamini kama mtu na akili zake timamu anaweza kuchangia mawazo kama haya ya huyu ndugu anayejiita Bull. Ningemshauri huyu bwana afanye uchunguzi wa kina ili kujua CVS za viongozi wa juu wa CHADEMA...
Ninashangazwa sana jinsi wananchi wengine wanavyotumia uchama katika kuficha ukweli wa mambo. Nimuhimu tukatanguliza uzalendo mbele badala ya kuweka imani ya chama katika kuzungumzia swala la mauaji ya kinyama yaliyotokea Arusha. Unapozungumzia uongozi wa juu wa CHADEMA ndio ulio hamasisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.