Toka tarehe 27 October 2023, kampuni ya michezo ya kubashiri betpawa inashindwa kutoa (withdraw) pesa kwa wateja wake.
Changamoto hii mpaka sasa bado ipo, kiasi kwamba kuna baadhi ya wadau wana hofu huenda ikawa ndiyo mwisho wa kampuni hiyo kuwepo hapa Tanzania na pesa zao walizoshinda baada ya...
Wananchi wamechanga kufikisha ujumbe kuwa wamechoka siasa za kinafiki, siasa za uonevu, siasa za kizindaki, siasa za uongo, siasa za kitoto, siasa za kijinga kabisa, siasa za...
Wananchi wanajua sana kuwa Chadema inapata ruzuku kubwa baada ya ccm, lakini wameamua kuchanga. Na wapo wanachama...
Wameiba Dar [Kariakoo na Samora] 'mammilion ya fedha' halafu wameendelea kuishi Dar [Ukonga na Mbagala] na bado waliendelea kutumia na kuwasiliana kwa namba za simu zile zile, majirani wanaona leo una gari mpya tatu, nne na mavitu ya thamani ndani ya wiki mbili tu. Baada ya siku 17 unakamatwa...
Poleni wafiwa na wadau wote wa mashindano ya magari. Ndiyo ajali imeshatokea tunajifunza kutokana na makosa.
Inaonyesha kuwa hakukuwa na taarifa ya kutosha kutoka kwa watumiaji wengine wa barabara mpaka dreva anakuja kuingiza gari barabarani wakati mashindano yameshaanza. Au hakukuwa na...
Kweli amepata mialiko yote hiyo 22? Mbona jiwe haitwi jamani?!!! Hata mualiko japo ¼ (....eeh yaani mualiko robo tu hajapata kutoka vyombo vya nje?!).
Sent using Jamii Forums mobile app
Repoti ya Tundu Lissu, watu kuokotwa ufukweni mwa bahari, Kibiti zingetoka kama hii ilivyotoka haraka ingekuwa safi sana. Polisi kupata mawasiliano ya simu [CDRs] tu ndiyo uchunguzi wa kisayansi? Kuna watu wametuma ujumbe kuwa eti basi lina CCTV wekeni hizo picha tuone.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.