Sitta tunashukuru kwa mchango wako kwenye nchi hii,maana nasikia upo bungeni toka miaka ya 1970,ni vyema ungewapisha na wengine hasa vijana nao watoe mchango wao kwa nchi hii.Binafsi nikushuruku kwa mchango wako hasa kwenye bunge la Tisa,
Kwa sasa, nakusahauri ubaki kuwa Mshauri kwa kizazi...
...Mr Magufuli porojo na hekaya zako,zimefikia ukingoni,hata wabunge wenzio wa CCM,wanakuona muongo,refer jana Idi Azzan,Mbunge Kinondoni alivyosema haliridhishwi na majibu yako..
Kiukweli inasikitisha sana,kwa TAKUKURU kuangushwa kila kesi inayohusu vigogo hasa wa chama hichi cha KIJANI na wafadhili wao,inabidi sasa tuanze kuhoji MAADILI ya hao waendesha mashtaka ya hii eti inayoitwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa
....duh,kweli tutasikia na kuona mengi kabla ya uchaguzi wa mwaka 2015,hasa kutoka kwa wazee wa Magamba,maana kila mtu anajiona yeye ndiye zaidi,mjanja,tajiri,maarufu,mtoto wa mjini kuliko mwingine kumbe ni uroho tu wa mali..yetu macho na masikio!
....hivi hawa WATAWALA wa CCM,huwa hawaonagi AIBU,hawawaoni wenzao walivyoumbuka wakati wa sakata la EPA na Richmond??..au ndio ajali kazini??.,,sio bure ninyi manyang'au wa CCM!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.