Namcheki maximo wetu kocha wa wa timu ya taifa wa zamani hapa TBC, akinadi sera zake za kuanzishwa kwa vilabu vya watoto.....huyu jamaa wadau vp kuna umuhimu wa kuwa naye tena???
Tanzania bara: Kimbisa, Adam Omar na Morunya, na Charles Makongoro Nyerere
Zanzibar: Mwinyi Abdula na Yahaya Mariam Ussi
Upinzani: Kessy Nderakindo na Taslim Twaha Issa
Wanawake: Kizigha na Shyrose Bhanji
Ingeleta mantiki endapo barnaba angechukua tuzo nyingine kumfanya awe mwimbaji bora wa kiume...kwa mfano kuchukua wimbo bora wa mwaka nk...hata hivyo pongezi tuzo zilifana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.