Alipojitia kwenda kumwakilisha Mkuu wa Mkoa wa wakati huo kwenda kuwasikiliza Wamachinga na matatizo yao, nakuambia kulimtoka unyoya mbele ya wana VIBINDO kiguu na njia hao.
Nadhani popote pale alipo kawe hatosahau alivyonusurika mikononi mwao Wamachinga wenye hasira pale Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam. Huo ndiyo uliokua mtihani mkubwa zaidi kwake katika utumishi wa Temeke jiji Dar es salaam.
Sisi hatuhusiki na wagombea makafir Igunga. BAKWATA na CCM mtusamehe sana kulazimisha ushiriki katika mambo ya siasa hatupendezwi kutumika kuwaweka madarakani watu walio Waislamu safi.
Waislamu tunao maslahi gani katika wagombea wote makafir Igunga kiasi cha kufanya BAKWATA kutudhalilisha kila siku na mitamko yasiyokua na mashiko huko?
Yeyote anayetetea bado serikali ya mafisadi ni ADUI WA TAIFA LETU!
Ni adui wa azma yetu kulinda rasilmali zetu! Ni adui mkubwa wa vizazi vijaavyo vya taifa hili!! Na popote walipo wamelaaniwa hata kabla hatujaing'oa hii serikali dhalimu.
Ama uko pamoja na sisi raia wa nchi hii tunaoteshwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.