Search results

  1. B

    Ray C: Pole ila una kosa la jinai la kujibu

    hili nililisemwa kwenye wall page ya Tanzania Government kule fb, kuwa ray c anapaswa kupandishwa kizimban,na pia jk amemuangalia ray c lakin kuna kina ray c wangapi??alipaswa kupambana na watu wanaosababisha RAY C NA WENZAO KUWA VILE
  2. B

    Usithubutu kununua LUKU kwa M-PESA

    tena ya ubuyu mi nauza
  3. B

    Usithubutu kununua LUKU kwa M-PESA

    hahahahaaaa,,,kuna mdau anadai ilichukua 5 deiz je ungeeleweka?
  4. B

    Usithubutu kununua LUKU kwa M-PESA

    mtoto halali hili la muda wa maongezi bure ndo lonalotugharimu
  5. B

    Dr Harrison Mwakyembe atua Tabora kwa gari moshi leo

    mdau wewe bora umejua hila za wanasiasa ambao kwa kiasi kikubwa wanatupotezea muda na pesa za kununua magazeti
  6. B

    Serikali tajiri

    Jamani me nataka kujua kuna baadhi ya magari huwa nayaona plate namba zake zimeandikwa hivi ST (NAMBA) A MFANO ST 204 A
  7. B

    Majambazi yanatikisa kariakoo

    trust no one even ur shadow
  8. B

    Majambazi yanatikisa kariakoo

    No wonder kwa kariakoo
  9. B

    Je Kinana ni jangili?

    Adili so unamsafisha au unarekebisha rekods
  10. B

    MAUAJI NGARA: RPC:Raia alitaka kumchoma Polisi kisu

    Movie ishapata DIRECTOR HIYO, MWALIM MKUU SULEIMAN KAVA
  11. B

    Ujinga sasa basi: Kinana tuoneeni huruma watanzania

    hili lipo sana mdau,kama mhusika hajatengeneza line basi anakupa line ya mtu wake wa karibu
  12. B

    maoni ya katiba mpya

    Binafsi napendekeza kuwe na ukomo wa kuwa bachela,wasiotekeleza kuoa au kuolewa wakifikisha umri wa miaka 25 wawajibishwe
  13. B

    CNN: Dr. Slaa awa gumzo na hatari serikalini Tanzania

    hahahahaaaaa........nahis kauli hiyo anaweza kuitoa manguler
  14. B

    Polisi wawili wauawa kwa mapanga na wananchi wenye hasira Ngara; kituo cha polisi chachomwa moto!

    wasioitakia mema nchi hii ni WALA RUSHWA NA WABADHIRIFU TU,hakuna mwingine
  15. B

    Polisi wawili wauawa kwa mapanga na wananchi wenye hasira Ngara; kituo cha polisi chachomwa moto!

    sitetei mauaji lakini polisi huua hata wasio na hatia,hata wangeua 20 si mbaya,,,,maana polis wameua sana
  16. B

    Polisi wawili wauawa kwa mapanga na wananchi wenye hasira Ngara; kituo cha polisi chachomwa moto!

    Bajabiri aliwah kulamba ban kwa kuita mtu mbwa sijui huyu jamaa atatendewa haki au lah?
  17. B

    Mike Tyson Denies Sex Change Rumors

    even gazeti la JAMBA LEO
Back
Top Bottom