Naomba mawazo yenu wana JF ni kwa nn wanawake wengi huwa wanawasamehe wapenzi wao pindi wanapowafumania tena bila shida huku wanaume inakua kazi kuwasamehe wapenzi wenu mkiwafumania?
Hao wanaintelijensia naona hawakwenda shule kama walipata fununu kwa nn wasingedhibiti mapema hicho kikundi cha waliotaka kufanya fujo? Huyo Mwema na Ukwe wake kwa kikwete ndo umeleta haya kapigiwa cmu usiku na mkwe wake kikwete ya kuzuia maandamano ya wapigania haki na maendeleo ya uma. Balaa...
Duu hyo haitoshi kuacha simu chumbaniiiiiiiiiii yeye yupo jikoni inawezekana muda wa kuwasiliana ni ule yupo kazini akirudi anajifanya hana tym na simu wakati wanaume walishachakachua long tym. na kama ni house yf yani unatoka saa mbili asubuhi machizi wanazama ndani mida ya saa tatu na wana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.