Search results

  1. bokilo

    Swali la uchumi: Kwanini vikwazo vya mataifa yenye nguvu kubwa kiuchumi havifanyi kazi dhidi ya Urusi?

    The Boy Wonder akili nyingi sana alafu hana unafiki. Barikiwa sana ndugu
  2. bokilo

    Niko na swali

    Inaonekana mariamu alikuwa mtu wa vaibu hivyo ikapelekea kutojali mambo ya msingi
  3. bokilo

    Msemaji Serikali ya Israel: Mwili wa Mtanzania Joshua unashikiliwa na Hamas

    Pia ndugu mpenda haki mwenzangu tujiulize, huu mwili wa mtanzania mwenzetu unashikiliwa sehemu gani haswa ndani ya Gaza wakakati tunaambiwa Gaza yote kwa sasa ipo chini ya jeshi la Israel? Hatuoni kwamba ni maigizo yaleyale ya serkali dhalimu ya Israel kwamba ndugu yetu Joshua mollel aliuawa na...
  4. bokilo

    Katika kundi la 260 waliokwenda Israel kama hakukua na waislamu basi kulikuwa na ajenda ya siri

    Huko kunakoitwa Israel ni ardhi ya Wapalestina, hivyo ukienda huko ujue kabisa kuuawa ni haki yako. Watu wanapambania ardhi yao alafu jitu linatoka huku kwenda kusoma huko au kufanya kazi huko....pumbavu
  5. bokilo

    Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

    Ndugu mtazamaji pameanza kuchangamka
  6. bokilo

    Ninahisi nimepata gonjwa la zinaa ila dawa zote zimedunda

    Kuanzia leo naacha ngono zenbe!
  7. bokilo

    Nimeamua kwenda Israel kujiunga na IDF kulipiza vifo vya Joshua na Clemence

    Mara shemeji yake anarudi akitavuna karanga bas yeye roho juujuu
  8. bokilo

    Hakuna mwanamke anaye penda na kuvumilia mwanaume masikini, mwanaume masikini ni mzigo mzito kwa mwanamke

    Naungana na mleta mada kuwa mwanamke masikini ni mzigo mzito sana kwa mumewe
  9. bokilo

    Wanaume wengi wanakula vyakula vizuri kuliko familia zao

    Shindwa katika jina la yesu
  10. bokilo

    Fahamu kama ushawekwa alama za kichawi ,jua umekwisha

    Mihuri ya kichawi maana yake ni location za kichawi ili usipotee kwenye rada zao. Ukifungua jicho la 3 kwa ukamilifu, wewe ndio unakuwa unawacontral kama TV kwa remote ukitumia mihuri/GPRS hiyohiyo waliyokubandika.
  11. bokilo

    Tatizo la kununua luku

    Inasemekama mayahudi yamedukua mfumo wetu wa luku kwa sababu eti tumekataa kuwalaani Hamas kwa walivyowavyeka mayahudi tarehe 7 mwezi wa 10. Sasa najiuliza tutawalaanije watu wanaojitetea kupambania nchi yao?
  12. bokilo

    Navutiwa sana na wanaume wanaovuta bangi au sigara

    Mleta mada sio mwanaume namfaham vizuri tu hadi mitaa yake
  13. bokilo

    Abarikiwe anayeibariki Israel alaaniwe anayeilaani Israel

    Hizi imani hazina tofauti na madawa ya kulevya
Back
Top Bottom