Hayo mambo yapo. Siku moja nililazwa hospitali, kwa nje kulikuwa na chemba ya maji machafu. Asubuhi ya siku iliyofuata nilisikia harufu mbaya na kali sana, nikadhani inatoka kwenye ile chemba. Baada ya kuwa kuruhusiwa, nikiwa kwenye daladala, mambo yalikuwa safi. Lakini baada ya muda mchache...
Inafanyika hivyo kwenye ndege za kivita za kijeshi.
Ndege za kiraia hawajaweka hizo parachuti.
Ila kuna maboya yanasaidia iwapo rubani atawahi kuishusha ndege katika bahari, ziwa au mtoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimepokea ujumbe huu katika simu yangu kwa karibu miezi minne sasa; na mara ya kwanza nililipa elfu 5; Jumbe zikaendelea kumiminika zikidai malipo ya kila mwezi.
Sasa nina shaka na huu ujumbe kama kweli unatoka Uber:
Uber: Hakikisha unalipa ada ya Uber ya TZS 9000.00 ada uliyotumiwa tarehe...
Moto ni ule ule wa milele, ila ukali wa moto unapishana kulingana na uzito wa kosa la mhusika; inasemekana kuna chamber tofauti tofauti za adhabu; kama ni wachawi....watakutana chamber moja; wezi wana chamber yao; wauaji chamber yao, n.k. Soma kitabu cha Mary K Baxter - A Divine Revelation of...
Mwanadamu ana sehemu tatu; roho, nafsi na mwili; ile sehemu iitwayo roho, inafanana sana na Mungu, maana Mungu naye ni roho; tofauti ni kwamba roho ya mwanadamu ina mwanzo, ya Mungu haina mwanzo; Roho ya Mungu inaweza kuumba, ya mwanadamu haiwezi kuumba; na Roho ya Mungu ina nguvu isiyo na...
Akiomba Mungu halafu akajihusisha kufanya jambo kinyume na sheria na kinyume na utu/ubinadamu ategemee kwamba kwa uwezekano mkubwa 'iko siku ataumbuka' hadharani. Mission itakuwa IMPOSSIBLE.
Pole sana. Nani alikwambia au alikufundisha 'uache kufikiri', umuachie Mungu kila kitu, uwe kama roboti, umwachie Mungu afikirie kwa ajili yako? Aliyekufundisha hayo alikudanganya na hata yeye hajui afundishalo.
Mungu wa kweli katupa uhuru wa kufikiri na kufanya mambo. Hapendezwi na watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.