Home team imepewa ushindi wa goli hizo tayari.....wewe kuendelea kuipa ushindi, au suruhi(2-2)/(3-3) as loss (2-3)/(3-4) ikiwa home team magoli yake ni hayo uliyoyatolea mfano.
Kanda ya ziwa kuna mambo ya kutisha, unaambiwa kabisa huyo amabye umezoeana nae ni mchawawi.
Kuna wakati nilikuwa mgodini huko, sasa nilikuwa napiga mzigo/kazi kama sina akili jamaa wakawa wanai admire ukitegemea zile kazi ni ngumu sana. Siku moja yule jamaa niliyeambiwa ni mchawi nikasikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.