Chombo kinachomilikiwa na RA unategemea kiandike nini juu ya CDM. Huhitaji hata kufikiria na ninakushauri usiangalie hat hrading tu maana kwa ustahimilivu nmdogo ulionao unaweza kufa na pressure.
Matola
Magazeti yote uliyotaja hayawezi kuandika maovu yaliyofanywa na viongozi wa serikali kwa sababu yana mkono wa serikali na mengine kuna mikono ya mafisadi ambao tayari wameishikilia serikali. Kama hujuwi basi nyamaza usilete u-mbumbumbu na utoto wako hapa.
Kichwa chako kimejaa maji tupu. Tangu wamekuja wawekezaji tumefaidika na nini zaidi ya ufisadi na ugawaji wa pesa za walipakodi kwa elephant projects. Amani bila demokrasia ya kweli ni kubaki utumwani katika kipindi tofauti. Hapo bado utaelewa tu maana yake.
Yuko busy. Mchumi asiyejua uchumi. Hata Degree ya uchumi aliyopata haikumsaidia, mbali ya hapo jamaa inaonekana hata washauiri wake ameteua wa kufanana naye.
Hili ni zuzu kweli. Nchi ikiwa na asilimia kubwa ya watu kama hawa haifiki mbali. Hawa ndio wanaoshangilia kwa sura za watu wala si mawazo mazuri na hoja zinazotolewa na wahusika. Nafikiri wewe mwenyewe hujuwi hata haki zako. Mungu akuongezee ujinga zaidi- Amen
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.