Naitwa MATHIAS ELIAS nipo maswa nauliza kwa hao washiriki:"purchasing power" ya shilingi yetu ikoje kwa sasa ukilinganisha na mwaka 2005. KAMA ni ndogo (imeshuka) sababu ni nini.? Utafanyaje kuboresha hali hiyo?
Kaka umechambua vema sana! lakini kwa katiba ya sasa nafikiri ni halali kwa wabunge na spika wao pamoja na jaji mkuu kunyenyekea mhimili wa dola kwa sababu uko juu ya mihimili mingine! Kwa katiba hii ya hovyo Rais anaweza kuvunja bunge! Rais anamteua jaji Mkuu, Anaweza hata kumfukuza kazi, kwa...
"Ukifanya fujo umeambiwa usifanye hiki ukaamua wewe kukaidi utapigwa tu maana hakuna namna nyingine....na mimi nasema muwapige tu kwa sababu hakuna namna nyingine maana tumechoka sasa"-M.K.P. Pinda, june 2013.
tegemea vurugu zaidi zitakazosababishwa na kung'ang'ania kutawala! Aidha Dalili nyingine ya angiuko ni kutosikiliza lolote linalo tahadharisha, ni kupuuza, kukejeli, kutisha kila anayetahadharisha lolote!
Umepumua sasa! Basi tulia! Elewa kwamba, Wengi tunatambua kwamba hao uliowataja ni baadhi tu ya wawakililishi wa watanzania wanao inyima usingizi serikali hii dhaifu , Haiwapendi, haiwataki, lakini haina namna. Makinda hawataki, hawapendi lakini hana namna! wewe hauwapendi, hauwataki, lakini...
Seleman Semunyu wa ITV, Hebu mwalike Rais ktk kipindi chako unacho kiita dakika 45 umwambie atoe ufafanuzi kuhusu kufungiwa kwa gazeti la mwanahalisi maana inaonekana mkuu amepasua kichwa badala ya goti! Kwamba walioandika habari zinazosemwa ni za kulitaka jeshi kuasi ni mwanahalisi kweli Au...
ndugu wananchi mtakumbuka kuwa hivi karibuni nilifanya ziara ya kikazi nchini ufaransa na baadae sweden kabla ya kurudi Ethiopia na natarajia kuendelea na safari zangu kama nilivyowahi kushauriwa na dokta mwenzangu...
Naweza kusema kuwa viongozi (kama kweli ni viongozi) wamegeuka wakoloni wetu, wanaiba, hawataki uhoji, mkikusanyika kudai haki zenu jeshi linatumika! Nashukuru mapambano ya uhuru yanaendelea sehem mbalimbali nchini, mtwara,morogoro,mwanza nk.TUNAWEZA KUJIkomboa, tukawa huru toka kwao!
Inawapa fursa ya kujirekebisha baada ya kutumikia hukumu yao? Na Hukumu ikishatekelezwa na baadae ikabaanika kuwa imetolewa ki makosa kwamba hawakustahili adhabu hiyo,tunaweza kuwapata tena? je,haki itakuwa haki? TUJIULIZE HALAFU TUJIJIBU WENYEWE!!
Hizo ni dalili za serikali iliyoshindwa. Kubadili tena baraza la mawaziri imeshindikana, anaona hakuna jipya! Sasa MBINU MPYA ni Kutumia viongozi wa chama, Mawaziri na mkuu wao Pinda BUREEEE!
Ni serikali ya mfamaji.. Zomeazomea iendeleee tu. HAKUNA njia ya kuwaondoa akina Jeyikeyi kwa sasa...
AKIMFUKUZA mwenyekiti wake, ataweza kurudisha CCM enzi za Mwalimu, CCM ya wanyonge. Vinginevyo hii ni season two, baada ila ya "kujivua gamba". Kip on watching!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.