Mimi sio Mchaga ila nimetemebe mikoa karibu yote ya Tz nakiri sijawahi kuona vijiji vilivyo endelea km Kilmanjaro kuanzia umeme, maji Safi, barabara, shule nk ni ni nadra kuona nyumba ya Nyasi/tope Kilmanjaro, migombani unaweza kukuta vitofa vya maana mno Kongole sana kwao
Wakati wa Nyerere walisema anawapendelea wakatoliki ikabidi afanye uchunguzi kwn baraza la mawaziri akakuta baraza la mawaziri wapo wakatoliki 2 tu George Kahama ambaye alikuwa mkatoliki ila alikuwa ana wake 2 kinyume na imani ya kikristo kuwa na mke mmoja
Mashali alikuwa m2 poa sana mm nilikuwa nakutana nae sana maeneo ya Meridian M'nyamala na kama humjui ilikuwa sio rahisi kuja km ni boxer hakuwa na ubabe jinsi watu wanavyoelezea
Wasenge hao Singidani na Kindai zinaufanya mji wa Sgd kuwa na muonekano/mvuto wa kipekee bila kujali ni ziwa, Bwawa au kidimbwi Tena wa Shy na Kahama mshukuru mradi wa wa maji toka ziwa Victoria coz huko kwenu ukame umetamalaki Sgd municipal maji kukatika ni ndoto, maji ni mwanzo wa mwaka hadi...
Pimbi ww mnadharau sana utafikiri kwn km ulaya Bk yenyewe juzi tumeona nyumba zilivyochoka ambazo kwa Sgd Manispaa huwezi zikuta, haya mtajie mshikaji jengo lenye lift shy akapande, na wanaosema Sgd Kuna vumbi nadhani hawajawahi kwenda Geita
Ni kweli kabisa umetoa tathmini nzuri sana na vitu vinavyoikwamisha Sgd ni natural futures km
upungufu wa mvua na ukame wa mara kwa
mara vitu ambavyo vipo nje ya uwezo wa
Binadamu, ni kama miaka michache iliyopita watu walivyokuwa wanaacha kazi wakipangwa mikoa ya kusini hadi neema ya gesi...
Miji yote hiyo yote nimeenda hivi unaposema Sgd padogo umelinganisha na nini? Nyie ndio mliokaririshwa tafuta muda kaa Sgd hata siku 2 tembea then uje kutoa tathmini yako nimezunguka mikoa krb yote Sgd inakuja juu sana tena mji unaokua kwa mpangilio no squirter
Pimbi wewe Kahama kamji unachotembea kwa miguu dk 45 umekamaliza ndio ulinganishe na Sgd? SGD municipal ni habari nyingine mmkealia story za miaka ya 60, Eti Geita nayo unaizidi Sgd mji ambao Daladala ni Baiskeli nimetemebea nimeona tena acheni uzushi wenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.