Bus la timu ya Yanga lililokuwa limebeba wachezaji pamoja na viongozi wa benchi la ufundi limepata ajali(limepinduka)eneo la Mikese leo saa tatu na nusu asubuhi.Yanga walikuwa wakirudi Dar toka Moro walikocheza mechi ya ligi kuu ya Vodacom hapo jana dhidi ya Mtibwa kwenye uwanja wa...
Wanachoamini watawala ni kwamba Watanzania wameumbwa kusahau! Kwa hiyo kila linalotokea hata likiwa zito kiasi gani litakaa kwa muda mfupi then litapita kama upepo!!
Polisi wa serikali sikivu inabidi wajitathimini utendaji wa kazi yao.Matumizi ya mabavu,kushindwa kuwapata watuhumiwa wa matukio yanayotishia usalama wa nchi,kukithiri kwa madawa ya kulevya nk kutaipeleka nchi pabaya.Vinginevyo haya yanayotokea yana maslai kwao!
Katika kile kinachoonekana kutokurudi nyuma katika kupigania haki zao,walimu ambao waliitwa kusahisha mitihani ya mock kidato cha sita kanda ya mashariki ikijumuisha mikoa ya Morogoro na Pwani wiki iliyopita waligoma katakata kufanya zoezi hilo pale Ruvu sec.
Kwa mujibu wa mmoja wa walimu hao...
Mark ni vema kabla ya kutoa comment ukajiridhisha katika kuisoma na kuielewa threid.Ni wapi niliposema eti wakuu wa shule wasiende shuleni? Wao kama wakuu wanalakusema kutetea maslai ya wao wenyewe na kada nzima.Hivi inakuingia akilini mkuu wa shule anapoojiwa na mwandishi atoe maoni yake kuhusu...
Imeripotiwa na TBC1 katika kipindi cha DIRA kwamba mkuu wa mkoa wa Ruvuma ameitisha mkutano na wakuu wa shule za msingi na sekondari ili kuwatuma wawashawishi walimu waliogoma warudi kazini.Baadhi ya wakuu wa shule walitoa maoni yao na kuonekana kuwashangaa walimu wenzao waliogoma! Eti wanagoma...
Nimechoka sana na kauli iliyotolewa leo na mwanasheria mkuu wa serikali " eti kuwa na nywele sio kuwa na uwezo wa kufikiri".Kauli hii aliitoa leo bungeni pindi Mh.Tundu Lissu akiungwa mkono na Mh.Deo Filiponjombe na Mosesi Machali kutaka bunge lijadili kuhusu ajali ya meli ya Stargic.Baada ya...
Siasa za bongo zinakoelekea sasa ni kubaya.Tulizoea kuona aina hizi za propaganda kipindi cha kampeni sasa ndio imekua taabu kwelikweli,kuchinjana,mipasho bungeni nk ni normal routine! Where are going men? Tushindane kwa hoja na sera za kusaidia walala hoi.
Is caused due to our poor leaders who always give very simple answers to very complex issues! Such as LIWALO NA LIWE,WAENDE PRIVATE etc! Victims are local people!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.