Hakuna heshima nzuri kama kuitwa mama au kuitwa baba,nakushauri mwambie mwenzako ili ajue kuwa familia inaongezeka.na kama atakushauri suala la kuito mimba mkatalie maana wengi wametoa ila wameishia kuhangaika kutafuta mtoto hawapa,cha msingi mweleze mapema ajue ili endapo ataikaa ujue wewe ndo...
mimi kama mimi hata nichoke namna gani akita muda wowote nampa kwani ni haki yake kupewa huwa najiuliza kwanza pindi nitakapo mnyima atasaidiwa na nani?kutuliza mtima wake?
UCHAGUZI 2015: Viongozi CCM Monduli wakiwemo M/kiti Swalehe Ramadhani, Katibu Anna Ernest watangaza kujiunga Chadema leo. Wasema CCM imekiuka kanuni za uchaguzi
Time: 2015-08-13 18:49:16
Tecno L3, Android Jelly Bean & faster downloads on 3G
Jump to:
» Features
» Technical spec
» Video
Tecno L3
Tecno L3 Features
Dual SIM connectivity with dual stand-by ensures both SIMs can be used...
Wamebadilisha ili tusijue kinachoendelea bungeni hadi wamalize bunge ndo watarudisha frequency na hili tatizo liko kwa wale wenye madish ya 6" wale wa futi nane sijui kama wanashida,na hapa wamefanya vile kwa kuwa madishi mengi ya futi sita yameenea vijijini sana ila elimu ya kinachoendelea wana...
jina la bank usilitaje, pili nenda kazichukue kwani hata wakigundua hawawezi kukuchukulia hatua bali watakuomba kuwa wameweka hela kimakosa kwenye account yako hivyo tunaomba uzirudishe kama hutakuwa nazo wakati huo huwa wanakukopesha kama mkopo urudishe kidogo dogo.kama juzi kati hapa maeneo...
siku zote masuala ya mapenzi ni matayarisho,na sio mapenzi tu yanahitaji matayarisho,ni vitu vingi huwezi enda kuoga bila kutayarishiwa maji kwa walioolewa au kutayarisha maji kwa wale wasio oa pia huwezi amka tu na kusema unasafiri bila ya kutayarisha akili yako ikubaliane na wazo lako la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.