Acheni kumshabulia mtoa mada lazima tujiulize maswali ya msingi
1. huyo babu anatudhibitishia vipi kama hiyo ndoto haijatoka kwa shetani?
2. Nakama watu wamepona ukimwi mbona hawaendi kudhibitisha kwa kupata vipimo vya maabara?
3.kuna viongozi walioenda kupata kikombe kama sumaye, mrema ambaye...
Hivi kwanini watanzania mmekuwa rahisi kudanganywa kiasi hiki, kwa mwendo huo mtaendelea kunyweshwa sumu huku mnajiona, tusubiri side effect ya hizo sumu, nachelea tunaweza kupoteza watu wengi wakiwemo viongozi wa nchi.
hii kitu ingetokea ulaya lazima hawa wanaojiita manabii wangepelekwa kupimwa...
mbona kwenye majumba yetu tunawapangisha na viwanja tunawauzia maana hii dar kiasili ilikuwa inakaliwa na waislamu kama tungekuwa na khiyana msinge kuwa na viwanja wala nyumba za kupanga ktk hili jiji.
maneno ya busara yanasema 'usiangalie ulipoangukia bali pale ulipojikwaa' wanachofanya waislamu ni retaliation kutokana na kuhujumiwa na wabeba misalaba wakiongozwa na marekani. Iraq ilikuwa ni nchi salama wakati wa sadam, palestina ilikuwa nchi salama kabla ya kuvamiwa na mayahudi, afghanistani...
Kwa sababu wateja wake wengi ni wakristo.
Ningependa kusikia siku moja
maaskofu wamezuia waumini wao kwenda kwa sh.yahya kwani mtakuwa mmetusaidia kumpiga vita mshirikina huyu
huyu babu mchungaji hana tofauti na wale maaskofu wanao dai kuponyesha vilema, vipofu na viziwi pale jangwani ilhali kuna waumini wao wengi tu wenye ulemavu.
Na hapa ndipo ninapo tilia shaka juu ya uwezo wenu wa kujudge viongozi wenu kwa kauli zao ktk jina la maono.
Naamini kama siku askofu...
Kwa sababu wateja wake wengi ni wakristo.
Ningependa kusikia siku moja
maaskofu wamezuia waumini wao kwenda kwa sh.yahya kwani mtakuwa mmetusaidia kumpiga vita mshirikina huyu
Mkuu hawa wamagharibi ni vizabizabina kweli, wazandiki na tena ni wanafiki wakubwa, kama kweli wanataka demokrasia duniani kwanza wangekepeleka manowari na wanajishi wao ivory coast kumng'oa dikteta Gbagbo. kwani ni zaidi ya wiki sasa wanajeshi wake wanaua watu wanao muunga mkono rais Outarra...
Vumbi, nadhani unahitaji kumsoma Dkt. John C. Sivalon, katika kitabu chake alichokiita "KANISA KATOLIKI NA SIASA YA TANZANIA BARA -1953 HADI 1985", kitajibu maswali yako mengi tu.
Wewe unatafuta laana toka kwa allah, kwa sababu unazusha uongo, hakuna aya hiyo kwenye QUR'AN tukufu.
sisi waislam tunaheshimu na kuamini vitabu vyote viilivyoshushwa kwa mitume wote(zaburi, torati, injili, na qur'an). Ndio maana hatutukani maandiko ya mwenyezimungu. Kwani yesu kwetu sisi ni...
CDMA inasimama badala ya code division multiple access.
Kwenye teknolojia ya CDMA mawasiliano kati ya watumiaji wa simu na kitovu cha kuunganisha mawasiliano(Mobile switching center) zinatofautishwa kwa kutumia codes badala ya kutumia frequecy au time channel yaani kitaalamu FDMA naTDMA. Hivyo...
Namimi nayatafutia ufumbuzi yale makengele ya kanisani yanayopigwa asubuhi na jioni na wale wakristo wanaosimama kwenye vituo vya mabasi na kupigia watu kelele.
mkuu tujadili hoja kisomi na sio kuleta jazba bila ya kuwa na mashiko.Waislam ni ulul' albab.
Rejea gazeti la msema kweli tarehe 28.2.1993 lenye anuani "TAMKO RASMI LA BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA MINTAARAFU KASHFA ZA KIDINI."
Halafu rejea Msema Kweli Toleo Na. 040, Jumapili Desemba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.