Unaenda Katavi bilashaka ni Mpanda then ukapumzike Dodoma! Kwann usipimzike Tabora kwasabb unaweza kujikuta unalala tena Tabora kwasabb kutoka dom mpaka Tabora utafika mchana sana hakutakuwa na Gari la kukufanya uendelee na safari! Ushauri wangu kapumzike Tabora
Mbona sioni upuuzi wowote aliyoundika mpaka umwite mpuuzi?
Amejieleza kwa uwazi kbsa, ndugu wanaccm tupo wengi tunao shangazwa na maamuzi ya Nape kwenye hilo la bunge
Wadau nimekuja tena, lkn safari hii lengo langu ni kuleta mrejesho.
Kwanza niwashukuru wote kwa kuchajia na kunitia moyo.
Pili niwashukuru wote waliokuja pm na kukosa vingezo, nipende kuwatia moyo wasikate tamaa.
Hatimaye nimefanikiwa kumpata niliyekuwa namtafuta...tunaendelea na mipango...
Wewe unasifa nzuri? Lugha uliyotumia inatosha kubaini tabia yako..halafu kama jambo halikuhusu si lazima uchangie...hata mpumbavu akinyamaza huonekana kuwa ana hekima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.