pole sana Nyambura natamani ungekua mpenzi wangu,iyo nasema kutnkana na maelezo yako apo juu,pole ila muombe sana na mungu atakusaidia,me nimekupenda kulingana na ukweli uliousema,uko wap?
kweli bwanamageuko umeöngea na una akili,msafara wa gari 23 kwani una tatizo gani,apo pia protoko aijafuatwa kikamilifu zinatakiwa ziwe gari si chini ya 25
kaka unaumiza kichwa bure,mwanamke akishaanza ayo makeke hakuitaji tena ila anashindwa tu kukuambia mimi na wewe basi,usimsemeshe muangalie tu mpaka uone mwisho wake,ila uelewe tu uyo akufai
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.