Umemaliza chuo kikuu mwaka huu mwezi wa 6,haraka mwezi wa 7 ukapata kazi, matokeo ya semista ya mwisho yanapotoka ukakuta una SUPP, je utatoa sababu gani kwa waajiri ili kuondoka kwenda kufanya SUPP?
Wana JF wengi wetu kutokana na kutokua na info,au kwa chuki tumekua tukipotosha kuwa waajiri hawataki graduates from UDOM.
To prove u guys wrong mwaka jana makampuni makubwa kama PRICEWATERCOOPERS(PWC) walikuja kutafuta wahitimu na kuwaajiri, Mwaka huu vile vile PWC wamekuja UDOM kujitangaza na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.