Mke mshirikina + mume mzinzi = makao makuu ya shetani! Unaogopa kumwambia kwa kuwa mikono yako michafu. Huwezi kutaka haki wakati hutendi haki. Nyote mtubu ili msonge mbele.
Mmmhhh! Kama ni kweli hao wamezidi sasa. Ubaguzi wa aina yoyote ni wa kulaaniwa. Nilishangaa sana nilipoenda Saudi Arabia sikuona kanisa hata moja. Niliambiwa Wakristo wanasali sehemu flani flani kwa siri. Sijui huko Iran, Kuwait, Qatar, Bahrain, Afghanistan, Iraq nk Wakristo wana uhuru kiasi...
Ni kweli kunahitajika weledi wa sekta husika ili kuteuliwa kwenye Bodi. Nafikiri ingekuwa vyema nafasi zingetangazwa na watu waombe, wachujwe, wasailiwe na wenye kushinda wapewe nafasi. Sahihisho kidogo. Mwenyekiti wa Bodi ya Tanesco huteuliwa na Rais. Waziri ana mamlaka ya kuwateua wajumbe tu.
Japo inaonekana ni mapema mno kwao kuitisha mkutano wa waandishi wa habari lakini inawezekana kabisa kesho Zitto na Dr. Kitilla watawawahi Chadema kwa kutangaza kujitoa Chadema kabla ya zile siku 14 walizopewa.
zemarcopolo...unapoteza muda mwingi sana kuijadili Chadema badala ya mambo ya msingi kwa Taifa letu fukara. Don't stoop that low brother.
Tuna upungufu mkubwa sana wa madaktari nchini na unajua. Rudi tusaidiane kurudisha japo kidogo kwa Watanzania waliojitolea jasho na damu ili sisi tusome...
Warsaw climate talks: nearly 3 in 10 countries not sending ministers
"...This year, two prime ministers and two presidents will be attending the conference, each hailing from some of the most vulnerable countries to climate change, including the Pacific islands of Tuvalu and Nauru, along with...
Mkuu nilicheki hiyo kitu BBC Knowledge last week. Ni kweli pale walicheza kama Pele! Haraka wakabadili mbinu na wakaingia ndani wakatwanga jamaa kadhaa na muhimu zaidi OBL na kuchukua nyaraka na vifaa kadhaa vya Al Qaeda. Na kabla ya kuondoka eneo la tukio waliilipua ile chopper iliyoleta...
Kweli hii ni hatari. Japo hapo ninaponunua mikate huisha mapema sana na ukichelewa hupati lakini hili limenistua sana. Nimejaribu kucheki mkate hapa nyumbani hauna tarehe ya kutengenezwa wala tarehe ya kuisha kutumika. Ni mikate gani yenye kuandikwa hizo tarehe?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.