chongoe hicho kisa cha chongoe mwana na mama yake nakisubiri. Lakini pia, maajabu ya baharini japo kisa kimoja. Nasikia pia wamiliki wa boti mara nyingi huhusika na ajali kwa ajili ya kurogana ili kurudishana nyuma. Pia kukumbushia swali la mdau mmoja namna tasi anavyovuliwa maana mm hupenda...
Kwa hawa wahudumu wa afya hasa vituo na hospitali za serikali ni shida, mtoto wa dsda yangu alifariki mikononi mwangu daktari wa zamu usiku yuko nyumbani kwake. Namshukuru Mungu kwa kunipunguza na hasira maana ilikua nitoke na shingo yake
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Dar huezi jaza lodges zote, inategemea na budget yako mzee na labda ulikua unataka short time. Hilo nakataa hata mm mtu wa mkoa
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Alikuambia mafua yana dawa nani?
Kitu kimoja ni uhakika. Dawa zote nzuri na organic zipo Africa.
Unajumjua vizuri kirusi wa mafua? Anyways karibu magimbi mchemsho hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwanini usiwe unaweka muendelezo hapo hapo juu kwenye uzi wenyewe kuliko kuweka huku kwa maoni ya waungwana? Au andika tu sehemu ya pili comment namba fulani ya tatu hivyo hivyo. Ila daaaah inachosha sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.