Vijana tunatumia Siasa kama njia ya mkato ya kutaka maendeleo. Unakuta kijana amesoma ana elimu yake nzuri lakini anatetea vitu ambavyo hata mtoto mdogo anaona kwamba sio vya haki. Unajiuliza kwa nn alipoteza muda wake kusoma kama elimu inashindwa kumsaidia kupambanua mambo. Kisa anatetea...
Tume ya Uchaguzi ingekuwa ya Haki inshaAllah tungeona mabadiliko mazuri sana kwenye uchaguzi wa mwaka huu. Ambayo naamini yangejenga Tz bora zaidi. Sema ndio hvyo tena tunasubiri kudra za M/Mungu[emoji848]
http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2014/01/22/article-2544052-1A8C877300000578-167_634x791.jpg
Na hii...
http://www.vibe.com/sites/vibe.com/files/styles/main_image/public/article_images/bieber-tmz-vibe.jpg
Mayai yamerushwa kwa nyumba so vile hawakuwahi kuyatoa na maji (ilo wasiharibu ushahidi) yameganda. Si unajua tena nyumba za wenyewe...
Ngoja nicheki picha niweke
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.