Harddisk upgraded to 500GB....wadau bei imebaki ile ile 250K,
laptop acer used but in good working condition ..
Wadau nipeni pesa niwahi lift ya Bro Kimaroo Aisee nikalee Xmass kwenye ubaridi wa asili.
sasa unazosema wewe Boss simpaka mtu atokee awaletee na hujui kamuumiza nani??...hii mali halali bosi wangu....mkuu yaan wewe kama unayo ya 200 hizo 4th to 5th generation....iposti hapa ...ila hii yangu naona nikiiuza chini ya 250 hainilipi.
ahahaha...etuii hilo Mbango....ilaa we mjamaa una madharau ujuee....anyway...ili mbango langu siwezi uzaa chini ya 250 aiseeee.
Fanya mpango nitafutiee mbango la 170 mimi ninunue..😀😀
Ni kweli ni old model chief lakini haina tatizo lolote,inawezekana nisipate 300k,lakini hebu kuwa realistic mkuu ndio useme waweza uza kama ni yako kwa 80k?
Boss wangapi kibongo bongo wananunua brand new pc dukani?? kariibu wote tunanunua either refurb au used na bei haiwezi kuwa chini ya laki mbili au tatu...hiyo 80K hata desktop upati.
Hii ni used but in very good condition...haijarishi ya mwaka gani....Umehamua tu kuniharibia biashara kama...
Hahahaha...we dalaliii huo sasa si uwizi tu
RAM 4GB let say ni 30K,harddisk lets say ni 40K,Display 15 5' ni around 90K...sasa hebu nambie hiyo 50k Boss wangu si ni bei ya Nokia torch.
Husika na kichwa hapo Juu..Nauza laptop Acer ikiwa na sifa hizi
Liquid Crystal Display 15'5
RAM 4GB
Harddisk 320GB
Battery 2hrs
WebCam
Bluetooth
Running Windows 10
Bei nahitaji Tsh.250,000 only
Napatikana Dsm
Mabibo Hostel
Mob:0713598825
Nahitaji pesa ya haraka nauza gari yangu Namba C.
Model:Nissan Skyline,Saloon Closed top
YoM:2004
Rangi ya gari: Pearl White
Hali ya Gari:Nzuri inatembea
Bei: Milion Tano na Laki 2 (5,200,000=/=)
Maongezi kidogo yapo Kwa serious buyer
Mawasiliano: 0620688865
Picha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.