Yaani wewe hadi leo hufahamu historia ya nchi yako? Nyerere wakati alipokabidhiwa nchi na mkoroni ilikuwa katika hali nzuri sana kiuchumi ukilinganisha na alivyokujakuiacha miaka 23 baadae.Kutokana na Akili zake finyu alidhani ujamaa ndo ungekuwa ufunmbuzi wa matatizo ya kiuchumi...
Japo siwezi kuzitaja IQ zao kwa Tarakimu, kama ningewapanga kulingana na IQ zao, basi ningefanya kama ifuatavyo, nikianzia mwenye Iq ndogo kabisa kwenda juu:
NYERERE : IQ ndogo kabisa kuliko wote. Aliingiza nchi katika matatizo ambayo yameigharimu na yataendelea kuigharimu nchi kwa muda mrefu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.